“Askari Baada Ya Kutoka Maandamano” See What Crazy Kennar Did

After maandamano Crazy kennar went ahead kuunda a very learning and intellectual video,kwa video anaonyesha vile askari baada ya kutoka maandamano anafika kwa nyumba, kuenda kuwasha gas anapata imeisha, anaamua kuwasha moto na ile fimbo alikua anatumia huko kwa maandamano.

Hapo anapika then kuenda kunawa hakuna maji, anatoa maji alieka wakati alikua kwa maandamano, hiyo ndo anatumia kunawa na hapo kumbuka ni coloured water then hata food amepika hashibi. Kidogo boss ambaye alimtuma anampigia simu, weeu ile food boss ameeka kwa meza ni miiingi, lakini kumbuka ile ya askari hata haitoshi. Boss anaambia huyu askari,”Good work kesho nataka mkaze kamba kabisa” na hapo yeye ako tu ni Raha.

Askari analala hata habadilishi nguo, alafu mbu wanamsumbua hata hana usingizi. Weeu I wish Askari wange learn something from that but anyway guys weka like kama umejifunza kitu.

Related Posts

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity in an apartment claiming a man was posing as a woman. According to reports, curious neighbors had grown…

Read more

Samidoh on the spot after anti-Ruto slogan stunt draws government attention

Popular Mugithi musician Samidoh, who also serves as a police officer, is facing renewed pressure over his dual career after leading a crowd in chanting “Wantam”, a phrase widely associated…

Read more

You Missed

How Is Cow’s Milk Produced?

How Is Cow’s Milk Produced?

Mushroom Farming : Small Space, Big Potential

Mushroom Farming : Small Space, Big Potential

8 signs to tell if a chicken is about to start laying eggs

8 signs to tell if a chicken is about to start laying eggs

30 Tips For Successful Poultry Business

30 Tips For Successful Poultry Business