“Askari Baada Ya Kutoka Maandamano” See What Crazy Kennar Did

After maandamano Crazy kennar went ahead kuunda a very learning and intellectual video,kwa video anaonyesha vile askari baada ya kutoka maandamano anafika kwa nyumba, kuenda kuwasha gas anapata imeisha, anaamua kuwasha moto na ile fimbo alikua anatumia huko kwa maandamano.

Hapo anapika then kuenda kunawa hakuna maji, anatoa maji alieka wakati alikua kwa maandamano, hiyo ndo anatumia kunawa na hapo kumbuka ni coloured water then hata food amepika hashibi. Kidogo boss ambaye alimtuma anampigia simu, weeu ile food boss ameeka kwa meza ni miiingi, lakini kumbuka ile ya askari hata haitoshi. Boss anaambia huyu askari,”Good work kesho nataka mkaze kamba kabisa” na hapo yeye ako tu ni Raha.

Askari analala hata habadilishi nguo, alafu mbu wanamsumbua hata hana usingizi. Weeu I wish Askari wange learn something from that but anyway guys weka like kama umejifunza kitu.

Related Posts

TikToker Nyako says Prince Indah’s wedding dress designer should be fired

She says Bolo Bespoke is a mess and that he made unimpressive attire for the Ohangla artiste. “I’ve never seen a horrible dresser on an occasion like that. Mwenye alishona…

Read more

“Nilishtuka Sana” Marry Biketi Says

Oparanya’s girlfriend Mary Biketi reveals how the online pressure she experienced after her photos with the CS leaked made her miscarry. Mary says she miscarried her 5-month pregnancy since she…

Read more

You Missed

Update On Impeachment Of Siaya Governor

Update On Impeachment Of Siaya Governor

Why I Prefer Wetangula To Musalia Mudavadi

Why I Prefer Wetangula To Musalia Mudavadi

Football Titbits across the papers

Football Titbits across the papers

TikToker Nyako says Prince Indah’s wedding dress designer should be fired

TikToker Nyako says Prince Indah’s wedding dress designer should be fired