“Askari Baada Ya Kutoka Maandamano” See What Crazy Kennar Did

After maandamano Crazy kennar went ahead kuunda a very learning and intellectual video,kwa video anaonyesha vile askari baada ya kutoka maandamano anafika kwa nyumba, kuenda kuwasha gas anapata imeisha, anaamua kuwasha moto na ile fimbo alikua anatumia huko kwa maandamano.

Hapo anapika then kuenda kunawa hakuna maji, anatoa maji alieka wakati alikua kwa maandamano, hiyo ndo anatumia kunawa na hapo kumbuka ni coloured water then hata food amepika hashibi. Kidogo boss ambaye alimtuma anampigia simu, weeu ile food boss ameeka kwa meza ni miiingi, lakini kumbuka ile ya askari hata haitoshi. Boss anaambia huyu askari,”Good work kesho nataka mkaze kamba kabisa” na hapo yeye ako tu ni Raha.

Askari analala hata habadilishi nguo, alafu mbu wanamsumbua hata hana usingizi. Weeu I wish Askari wange learn something from that but anyway guys weka like kama umejifunza kitu.

Related Posts

Here Is the Soft Life Of Maina Kageni

At just 18 years old, fresh from high school in 1993, Maina Kageni was already making KSh 43,000 monthly. That was at a time when the president earned about 100k.…

Read more

Revealed: Why Kenyan Gospel Artist David Wonder Is Releasing Music

Kenyan gospel artist David Wonder, once a rising star under Bahati’s EMB Records, has opened up about a personal battle that has deeply affected his music journey. The singer revealed…

Read more

You Missed

Here Is the Soft Life Of Maina Kageni

Here Is the Soft Life Of Maina Kageni

Football Titbits across the papers

Football Titbits across the papers

Duterte Wins Davao City Mayoral Race From Detention in The Hague

Duterte Wins Davao City Mayoral Race From Detention in The Hague

“IBRAHIM TRAORÉ is popular but he is a bad man, he doesn’t like criticism” ~ Gambia born, UK based journalist laments

“IBRAHIM TRAORÉ is popular but he is a bad man, he doesn’t like criticism” ~ Gambia born, UK based journalist laments