Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele.

Mama wa mtoto alikuwa amekubaliana na wazazi wa mwanaume aliyezaa naye kwamba ampeleke mtoto anyolewe nywele ya kwanza na nyanya.

Hata hivyo, alipowasili nyumbani hakuwapata wazazi. Badala yake alimkuta kijana huyo ambaye alimpokea mtoto, akaenda naye nyuma ya nyumba kisha kufanya mauaji hayo.

READ Also  "Every Night After The Lights Were Turned Off, The Young Nurse Would Secretly Enter My Room"

Polisi wamemkamata mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea.

Tukio hili limeibua majonzi makubwa pale Matioli-Butali katika eneo la Malava.

Related Posts

Update: NATO Allies Foil Russian Undersea Cable Sabotage Drill in Arctic

NATO allies led by the United Kingdom, Norway and the United States disrupted a covert Russian operation near Norway’s Svalbard archipelago after Russian deep-sea units were detected testing technology designed…

Senior School Teacher Timothy Njau Has Reportedly Died By Suicide

Senior school teacher Timothy Njau has reportedly died by suicide following the collapse of his marriage. According to reports, Njau had supported his wife financially, including paying her school fees,…

You Missed

Update: NATO Allies Foil Russian Undersea Cable Sabotage Drill in Arctic

  • By Milton
  • September 11, 2026
  • 2 views
Update: NATO Allies Foil Russian Undersea Cable Sabotage Drill in Arctic

Senior School Teacher Timothy Njau Has Reportedly Died By Suicide

  • By Milton
  • September 9, 2026
  • 4 views
Senior School Teacher Timothy Njau Has Reportedly Died By Suicide

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • September 9, 2026
  • 4 views
Football Titbits Across The Papers

DCI Arrests Suspect Over Incitement Of Ethnic Hatred

  • By Milton
  • September 8, 2026
  • 5 views
DCI Arrests Suspect Over Incitement Of Ethnic Hatred

Who Deserves To Be Crowned Goalkeeper Of The Year?

  • By Milton
  • September 8, 2026
  • 6 views
Who Deserves To Be Crowned Goalkeeper Of The Year?

This Young Man In Green Jacket From Burundi Was Spotted Crying Uncontrollably

  • By Milton
  • September 8, 2026
  • 6 views
This Young Man In Green Jacket From Burundi Was Spotted Crying Uncontrollably