Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Mixing Urea, CAN And Compound D As Top Dressing: Is It Correct?

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  List Of UDA Leaders Who Escorted Mbeere North Aspirant To IEBC For Clearance

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Things Women Do Immediately After Cheating On You

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

How To Be Confident In Front Of Women

1.You stop seeking her approval the second you open your mouth. You talk and move like you already know sheโ€™s lucky to be in your presence. 2.You keep strong eye…

Here Is The Good News To All Kenyans

Treasury CS John Mbadi says Kenya has 16 days’ worth of petrol stocks, 19 days for diesel, and 48 days for kerosene, urging motorists to avoid panic buying. Mbadi says…

You Missed

How To Be Confident In Front Of Women

  • By Milton
  • April 2, 2026
  • 2 views
How To Be Confident In Front Of Women

Here Is The Good News To All Kenyans

  • By Milton
  • April 2, 2026
  • 3 views
Here Is The Good News To All Kenyans

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • April 2, 2026
  • 3 views
Football Titbits Across The Papers

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • April 2, 2026
  • 6 views
Football Titbits Across The Papers

Here Is How Formal Workers In Kenya Earn According To KNBS Data

  • By Milton
  • April 2, 2026
  • 6 views
Here Is How Formal Workers In Kenya Earn According To KNBS Data

BREAKING: Hundreds Of Trucks Stranded At Malaba Border

  • By Milton
  • March 31, 2026
  • 4 views
BREAKING: Hundreds Of Trucks Stranded At Malaba Border