Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  More Trouble For Rigathi Gachagua As The DAP-K Party Threatens To Pull Out Of The United Opposition

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Update: 9 Teams That Have Qualified For The 2026 FIFA World Cup Directly

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Kule India only One Man, Raila Odinga's bodyguard Maurice Ogeta can tell the tale of the Dead

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

An Iranian lawmaker warned that in the event of war with the US, Tehran could strike targets inside Americaโ€”including โ€œTrumpโ€™s own palace. โ€Amir Hayat Moghaddam, a member of Iranโ€™s parliament…

Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

As a result, Ruto is expected to keep Kindiki firmly in place as Deputy President, signaling continuity at the top. Meanwhile, Oburu is strategizing, heโ€™s considering rallying Team Edwin Sifuna…

You Missed

Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 2 views
Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 2 views
Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 3 views
Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

Breaking: Vini Jr Statement

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 3 views
Breaking: Vini Jr Statement

Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 5 views
Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 6 views
So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?