“unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba”

JUST IMAGINE ?
Jana nikitoka tao nikaingia kwa hizi gari ndogo sijui inaitwa sienta ama ni shienta☺️Sasa vile gari imeondoka Kuna huyu mbaba alikuwa amekaa hapo mbele akaanza kuchapia ndere story ?eti “unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba ,so Jana walikutiliwa na bibi yake.

Venye amefikia hapo Kwa “wamekutiliwa na bibi yake gari ikafika stage ya kwetu?mnajua hiyo uchungu na saa hiyo story haijaisha….juu huyo dere nilikuwa nimemwambia nashukia wapi akaniuliza”madam Kwani hushuki”?

Nikamjibu Wacha nishuke next stage na nikamwongeza fefte☺️gari ikaondoka nikangoja jamaa aendelee na story lakini wapi ? instead alitoa simu akapiga akaongea akaongeeeea akaongeeeeeeea hadi tukafika next stage? makosaaa ? hivyo ndivyo nilishuka na kutembea 3km juu sikuwa na pesa ya kupanda gari? next time aki tukiingia kwa gari moja malizia story?

Related Posts

TikToker Nyako says Prince Indah’s wedding dress designer should be fired

She says Bolo Bespoke is a mess and that he made unimpressive attire for the Ohangla artiste. “I’ve never seen a horrible dresser on an occasion like that. Mwenye alishona…

Read more

“Nilishtuka Sana” Marry Biketi Says

Oparanya’s girlfriend Mary Biketi reveals how the online pressure she experienced after her photos with the CS leaked made her miscarry. Mary says she miscarried her 5-month pregnancy since she…

Read more

You Missed

Mp Peter Kaluma has said he saw Dr. Fred Matiang’i was received by only 10 people at JKIA

Mp Peter Kaluma has said he saw Dr. Fred Matiang’i was received by only 10 people at JKIA

Details Of Digital Speed Cameras Installed On Highways

Details Of Digital Speed Cameras Installed On Highways

Update On Impeachment Of Siaya Governor

Update On Impeachment Of Siaya Governor

Why I Prefer Wetangula To Musalia Mudavadi

Why I Prefer Wetangula To Musalia Mudavadi