“unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba”

JUST IMAGINE ?
Jana nikitoka tao nikaingia kwa hizi gari ndogo sijui inaitwa sienta ama ni shienta☺️Sasa vile gari imeondoka Kuna huyu mbaba alikuwa amekaa hapo mbele akaanza kuchapia ndere story ?eti “unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba ,so Jana walikutiliwa na bibi yake.

Venye amefikia hapo Kwa “wamekutiliwa na bibi yake gari ikafika stage ya kwetu?mnajua hiyo uchungu na saa hiyo story haijaisha….juu huyo dere nilikuwa nimemwambia nashukia wapi akaniuliza”madam Kwani hushuki”?

Nikamjibu Wacha nishuke next stage na nikamwongeza fefte☺️gari ikaondoka nikangoja jamaa aendelee na story lakini wapi ? instead alitoa simu akapiga akaongea akaongeeeea akaongeeeeeeea hadi tukafika next stage? makosaaa ? hivyo ndivyo nilishuka na kutembea 3km juu sikuwa na pesa ya kupanda gari? next time aki tukiingia kwa gari moja malizia story?

Related Posts

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity in an apartment claiming a man was posing as a woman. According to reports, curious neighbors had grown…

Read more

Samidoh on the spot after anti-Ruto slogan stunt draws government attention

Popular Mugithi musician Samidoh, who also serves as a police officer, is facing renewed pressure over his dual career after leading a crowd in chanting “Wantam”, a phrase widely associated…

Read more

You Missed

How to Determine the Sex of Papaya Plants

How to Determine the Sex of Papaya Plants

Feeding Timetable For Layers Chicken

Feeding Timetable For Layers Chicken

I Have Low Sugar” Is the Lie That’s Keeping You Sick

I Have Low Sugar” Is the Lie That’s Keeping You Sick

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity

Drama unfolded in Kiambu after members of the public reported suspicious activity