“unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba”

JUST IMAGINE ?
Jana nikitoka tao nikaingia kwa hizi gari ndogo sijui inaitwa sienta ama ni shienta☺️Sasa vile gari imeondoka Kuna huyu mbaba alikuwa amekaa hapo mbele akaanza kuchapia ndere story ?eti “unajua vile huyo neiba anapenda kuleta wasichana Kwa nyumba ,so Jana walikutiliwa na bibi yake.

Venye amefikia hapo Kwa “wamekutiliwa na bibi yake gari ikafika stage ya kwetu?mnajua hiyo uchungu na saa hiyo story haijaisha….juu huyo dere nilikuwa nimemwambia nashukia wapi akaniuliza”madam Kwani hushuki”?

Nikamjibu Wacha nishuke next stage na nikamwongeza fefte☺️gari ikaondoka nikangoja jamaa aendelee na story lakini wapi ? instead alitoa simu akapiga akaongea akaongeeeea akaongeeeeeeea hadi tukafika next stage? makosaaa ? hivyo ndivyo nilishuka na kutembea 3km juu sikuwa na pesa ya kupanda gari? next time aki tukiingia kwa gari moja malizia story?

Related Posts

Mulamwah Amenyonga Obinna Shingo

Mulamwah critisizes Obinna of being a parasit€ a pretender a clout chaser that everything happening in kenya Obinna wants to be the center, “you have opinions about everything,hio show yako…

Read more

ODM supporter and activist Nuru Okanga is carrying a heavy burden with a big heart

ODM supporter and activist Nuru Okanga is carrying a heavy burden with a big heart. Despite having no stable job, Okanga is personally sponsoring the education of 30 secondary school…

Read more

You Missed

First 50 And Last 50 Best Job Interview Questions And Answers

First 50 And Last 50 Best Job Interview Questions And Answers

Details Of 2025 Finance Bill

Details Of 2025 Finance Bill

Mulamwah Amenyonga Obinna Shingo

Mulamwah Amenyonga Obinna Shingo

Why Abduba Dida Was Arrested In USA

Why Abduba Dida Was Arrested In USA