Hatua Ya Maridhiano Tanzania

Siku moja baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi kutangaza kuondoa mifarakano na kulileta pamoja Taifa, tayari Viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameachiwa kwa dhamana.

Viongozi hao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara John Heche, Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Amani Golugwa, Mwenyekiti Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama Boniface Jacob (Boni Yai) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Godbless Lema, dhamana yao umetolewa leo 10 Novemba 2025

Hii inaweza kuwa hatua nzuri kwenye safari ya Maridhiano kama alivyotangaza Dkt. Nchimbi, kuondoa mifarakano na kuleta pamoja taifa, kulinda amani na kurudisha umoja baada ya migawanyiko ya Uchaguzi!?

READ Also  Youth turnout in numbers for Bobi Wine's campaign

Heche yeye alikuwa anashikiliwa na Polisi tangu Oktoba 22, 2025, alipokamatwa nje ya geti la Mahakama Kuu Dar es Salaam, alipokuwa akienda mahakamani, kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini.

  • Related Posts

    Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

    Kenya continues to face a substantial public health burden from smoking. An estimated 12,000 adults die annually from smoking-related illnesses. Although adult smoking prevalence has declined from 15 percent in…

    UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

    COTU now wants Parliament to revise PAYE bands for workers earning up to KSh60,000 monthly. The Union argues that workersโ€™ purchasing power has significantly weakened in recent years due to…

    You Missed

    Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

    • By Milton
    • June 2, 2026
    • 2 views
    Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

    UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 5 views
    UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

    Mystery As Bungoma Deputy Principal Collapses, Dies In Hotel Room During Night Out With Woman

    • By Milton
    • May 27, 2026
    • 4 views
    Mystery As Bungoma Deputy Principal Collapses, Dies In Hotel Room During Night Out With Woman

    Update: Deon Woodman Shares His Excitement

    • By Milton
    • May 23, 2026
    • 5 views
    Update: Deon Woodman Shares His Excitement

    Mutahi Ngunyi Tells Ruto 1 Person He Should Be Afraid Of In His Govt And Who Is Controlling Him

    • By Milton
    • May 22, 2026
    • 7 views
    Mutahi Ngunyi Tells Ruto 1 Person He Should Be Afraid Of In His Govt And Who Is Controlling Him

    What President Ruto Has Said On The Ongoing Fuel Crisis

    • By Milton
    • May 22, 2026
    • 7 views
    What President Ruto Has Said On The Ongoing Fuel Crisis