Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele.

Mama wa mtoto alikuwa amekubaliana na wazazi wa mwanaume aliyezaa naye kwamba ampeleke mtoto anyolewe nywele ya kwanza na nyanya.

Hata hivyo, alipowasili nyumbani hakuwapata wazazi. Badala yake alimkuta kijana huyo ambaye alimpokea mtoto, akaenda naye nyuma ya nyumba kisha kufanya mauaji hayo.

READ Also  I Am Deeply Disturbed After Watching This Video

Polisi wamemkamata mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea.

Tukio hili limeibua majonzi makubwa pale Matioli-Butali katika eneo la Malava.

Related Posts

UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

China has executed 11 members of a criminal syndicate convicted of luring foreigners — including hundreds of Kenyans — into scam and fraud compounds in northern Myanmar. The group, identified…

Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

During the AFCON final, a lady approached Sadio Mané to congratulate him, but she was politely stopped by Mané himself. This action later raised questions, and journalists asked him why…

You Missed

UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

  • By Milton
  • January 31, 2026
  • 2 views
UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

  • By Milton
  • January 31, 2026
  • 2 views
Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

  • By Milton
  • January 31, 2026
  • 3 views
Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

Xiaomi Launches the REDMI Note 15 Series in Kenya: Titan Durability Meets Pro-Grade Imaging

  • By Milton
  • January 30, 2026
  • 3 views
Xiaomi Launches the REDMI Note 15 Series in Kenya: Titan Durability Meets Pro-Grade Imaging

Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

  • By Milton
  • January 30, 2026
  • 5 views
Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

The University Doesn’t Teach You How To Monetize Your Degree

  • By Milton
  • January 30, 2026
  • 5 views
The University Doesn’t Teach You How To Monetize Your Degree