Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele.

Mama wa mtoto alikuwa amekubaliana na wazazi wa mwanaume aliyezaa naye kwamba ampeleke mtoto anyolewe nywele ya kwanza na nyanya.

Hata hivyo, alipowasili nyumbani hakuwapata wazazi. Badala yake alimkuta kijana huyo ambaye alimpokea mtoto, akaenda naye nyuma ya nyumba kisha kufanya mauaji hayo.

READ Also  RIP: This is Damaris, A Brave Young Mother And Total Orphan Who Lost Her Life After Being Hit By A Trailer In Kisii

Polisi wamemkamata mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea.

Tukio hili limeibua majonzi makubwa pale Matioli-Butali katika eneo la Malava.

Related Posts

Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

An Iranian lawmaker warned that in the event of war with the US, Tehran could strike targets inside Americaโ€”including โ€œTrumpโ€™s own palace. โ€Amir Hayat Moghaddam, a member of Iranโ€™s parliament…

Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

As a result, Ruto is expected to keep Kindiki firmly in place as Deputy President, signaling continuity at the top. Meanwhile, Oburu is strategizing, heโ€™s considering rallying Team Edwin Sifuna…

You Missed

Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 2 views
Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 2 views
Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

  • By Milton
  • February 20, 2026
  • 3 views
Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

Breaking: Vini Jr Statement

  • By Milton
  • February 18, 2026
  • 3 views
Breaking: Vini Jr Statement

Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 5 views
Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?

  • By Milton
  • February 17, 2026
  • 6 views
So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?