Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele.

Mama wa mtoto alikuwa amekubaliana na wazazi wa mwanaume aliyezaa naye kwamba ampeleke mtoto anyolewe nywele ya kwanza na nyanya.

Hata hivyo, alipowasili nyumbani hakuwapata wazazi. Badala yake alimkuta kijana huyo ambaye alimpokea mtoto, akaenda naye nyuma ya nyumba kisha kufanya mauaji hayo.

READ Also  Meet Rosemary Odinga, Raila's Eldest Daughter

Polisi wamemkamata mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea.

Tukio hili limeibua majonzi makubwa pale Matioli-Butali katika eneo la Malava.

Related Posts

Crackdown On Narcotics

Acting on intelligence, a multi-agency security team conducted a swift operation in Diani that led to the arrest of a trafficker and the recovery of narcotics. Detectives first recovered two…

BREAKING: U.S. Seizes Russian-Flagged Oil Tanker In International Waters, Moscow Warns Of Dangerous Escalation

The United States has announced the seizure of a Russian-flagged oil tanker in the North Atlantic after days of pursuit by the U.S. Coast Guard, citing sanctions enforcement linked to…

You Missed

Crackdown On Narcotics

  • By Milton
  • January 9, 2026
  • 3 views
Crackdown On Narcotics

BREAKING: U.S. Seizes Russian-Flagged Oil Tanker In International Waters, Moscow Warns Of Dangerous Escalation

  • By Milton
  • January 9, 2026
  • 6 views
BREAKING: U.S. Seizes Russian-Flagged Oil Tanker In International Waters, Moscow Warns Of Dangerous Escalation

How To Avoid Financial Stress In 2026

  • By Milton
  • January 8, 2026
  • 3 views
How To Avoid Financial Stress In 2026

How Odinga Family Marked Raila’s Birthday

  • By Milton
  • January 7, 2026
  • 5 views
How Odinga Family Marked Raila’s Birthday

Update: Semenyo To Manchester City

  • By Milton
  • January 7, 2026
  • 8 views
Update: Semenyo To Manchester City

Update: Relief To Edwin Sifuna After ODM Expelled Their Motion

  • By Milton
  • January 6, 2026
  • 8 views
Update: Relief To Edwin Sifuna After ODM Expelled Their Motion