Mfanyakazi Wa Ndani Aliamua Kumrekebisha Mtoto Wa Boss Wake Mwenye Umri Wa Miaka 7 Kwa Kumpa Adhabu Ya Kupiga Magoti Kwa Dakika 20

Baada ya mtoto huyo kupigana na binti wa jirani. Lakini adhabu hiyo haikumfurahisha mwajiri wake badala ya kuzungumza naye kwa hekima kumuuliza ilikuwaje, alimvamia binti na kumvua nguo kabisa na kuanza kumtandika bakora,
Hata alipochukua shuka ajisitiri waliendelea kulazimisha kumvua ili fimbo ziingie vizuri.

Hii imetokea siku za nyuma, na hapo ni mama na mtoto wanamchangia binti,

Niambie maoni yako: Je, wewe huwa unafanya nini house girl wako akimpiga mwanao, na je unadhani adhabu hii alistahili kuipata huyu binti?

READ Also  Kakamega Is The Only Town To Hold Football Matches Under Floodlights
  • Related Posts

    How To Be Confident In Front Of Women

    1.You stop seeking her approval the second you open your mouth. You talk and move like you already know sheโ€™s lucky to be in your presence. 2.You keep strong eye…

    Here Is The Good News To All Kenyans

    Treasury CS John Mbadi says Kenya has 16 days’ worth of petrol stocks, 19 days for diesel, and 48 days for kerosene, urging motorists to avoid panic buying. Mbadi says…

    You Missed

    How To Be Confident In Front Of Women

    • By Milton
    • April 2, 2026
    • 2 views
    How To Be Confident In Front Of Women

    Here Is The Good News To All Kenyans

    • By Milton
    • April 2, 2026
    • 3 views
    Here Is The Good News To All Kenyans

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • April 2, 2026
    • 3 views
    Football Titbits Across The Papers

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • April 2, 2026
    • 6 views
    Football Titbits Across The Papers

    Here Is How Formal Workers In Kenya Earn According To KNBS Data

    • By Milton
    • April 2, 2026
    • 6 views
    Here Is How Formal Workers In Kenya Earn According To KNBS Data

    BREAKING: Hundreds Of Trucks Stranded At Malaba Border

    • By Milton
    • March 31, 2026
    • 4 views
    BREAKING: Hundreds Of Trucks Stranded At Malaba Border