Mfanyakazi Wa Ndani Aliamua Kumrekebisha Mtoto Wa Boss Wake Mwenye Umri Wa Miaka 7 Kwa Kumpa Adhabu Ya Kupiga Magoti Kwa Dakika 20

Baada ya mtoto huyo kupigana na binti wa jirani. Lakini adhabu hiyo haikumfurahisha mwajiri wake badala ya kuzungumza naye kwa hekima kumuuliza ilikuwaje, alimvamia binti na kumvua nguo kabisa na kuanza kumtandika bakora,
Hata alipochukua shuka ajisitiri waliendelea kulazimisha kumvua ili fimbo ziingie vizuri.

Hii imetokea siku za nyuma, na hapo ni mama na mtoto wanamchangia binti,

Niambie maoni yako: Je, wewe huwa unafanya nini house girl wako akimpiga mwanao, na je unadhani adhabu hii alistahili kuipata huyu binti?

READ Also  Today's Football Titbits Across The Papers
  • Related Posts

    UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

    China has executed 11 members of a criminal syndicate convicted of luring foreigners — including hundreds of Kenyans — into scam and fraud compounds in northern Myanmar. The group, identified…

    Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

    During the AFCON final, a lady approached Sadio Mané to congratulate him, but she was politely stopped by Mané himself. This action later raised questions, and journalists asked him why…

    You Missed

    UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

    • By Milton
    • January 31, 2026
    • 2 views
    UPDATE: China Has Executed 11 Members Of A Criminal Syndicate Convicted Of Luring Foreigners

    Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

    • By Milton
    • January 31, 2026
    • 2 views
    Seé What Sadio Mane Did To The Lady Who Approached Him During AFCON Final

    Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

    • By Milton
    • January 31, 2026
    • 3 views
    Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

    Xiaomi Launches the REDMI Note 15 Series in Kenya: Titan Durability Meets Pro-Grade Imaging

    • By Milton
    • January 30, 2026
    • 3 views
    Xiaomi Launches the REDMI Note 15 Series in Kenya: Titan Durability Meets Pro-Grade Imaging

    Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

    • By Milton
    • January 30, 2026
    • 5 views
    Gachagua Threatens Nationwide Protests Over Alleged Church Attack

    The University Doesn’t Teach You How To Monetize Your Degree

    • By Milton
    • January 30, 2026
    • 5 views
    The University Doesn’t Teach You How To Monetize Your Degree