“Askari Baada Ya Kutoka Maandamano” See What Crazy Kennar Did

After maandamano Crazy kennar went ahead kuunda a very learning and intellectual video,kwa video anaonyesha vile askari baada ya kutoka maandamano anafika kwa nyumba, kuenda kuwasha gas anapata imeisha, anaamua kuwasha moto na ile fimbo alikua anatumia huko kwa maandamano.

READ More  “Davido Is The Most Disrespected Artist In Africa”

Hapo anapika then kuenda kunawa hakuna maji, anatoa maji alieka wakati alikua kwa maandamano, hiyo ndo anatumia kunawa na hapo kumbuka ni coloured water then hata food amepika hashibi. Kidogo boss ambaye alimtuma anampigia simu, weeu ile food boss ameeka kwa meza ni miiingi, lakini kumbuka ile ya askari hata haitoshi. Boss anaambia huyu askari,”Good work kesho nataka mkaze kamba kabisa” na hapo yeye ako tu ni Raha.

READ More  Meet Wilbroda, now 41 years old, seems to be aging in reverse

Askari analala hata habadilishi nguo, alafu mbu wanamsumbua hata hana usingizi. Weeu I wish Askari wange learn something from that but anyway guys weka like kama umejifunza kitu.

READ More  HUYU ALIENDA SAUDI AKAANZA KUTUSI WATU TIKTOK

Related Posts

Meet Wilbroda, now 41 years old, seems to be aging in reverse

Meet Wilbroda, now 41 years old, seems to be aging in reverse—she looked older when we were young but now appears even ripe and younger as we’ve grown. The actress…

Top 10 Fastest Women Marathoners

Top 10 Fastest Women Marathoners. 1️⃣ Ruth Chepngetich 🇰🇪 2:09:562️⃣ Tigist Assefa 🇪🇹 2:11:533️⃣ Sifan Hassan 🇳🇱 2:13:444️⃣ Brigid Kosgei 🇰🇪 2:14:045️⃣ Amane Beriso 🇪🇹 2:14:586️⃣ Paula Radcliffe 🇬🇧 2:15:257️⃣…

You Missed

Notorious Land Fraudster Arrested In Eldoret

  • By Editor
  • February 3, 2025
  • 1 views
Notorious Land Fraudster Arrested In Eldoret

The Importance of Livestock Farming: Benefits for Farmers and the Environment

  • By Editor
  • January 28, 2025
  • 3 views
The Importance of Livestock Farming: Benefits for Farmers and the Environment

When I started my journey in commercial broiler production in 2014 with 10,200 chicks

  • By Editor
  • January 27, 2025
  • 3 views
When I started my journey in commercial broiler production in 2014 with 10,200 chicks

Things You Should Know Before Starting Farming In 2025

  • By Editor
  • January 25, 2025
  • 5 views
Things You Should Know Before Starting Farming In 2025

Kienyeji Feeding Guide

  • By Editor
  • January 22, 2025
  • 6 views
Kienyeji Feeding Guide

Xiaomi Kenya Launches Redmi Note 14 Series: A Perfect Blend of Pro-Grade Photography and Robust Durability

  • By Editor
  • January 20, 2025
  • 11 views
Xiaomi Kenya Launches Redmi Note 14 Series: A Perfect Blend of Pro-Grade Photography and Robust Durability