Hatua Ya Maridhiano Tanzania

Siku moja baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Emmanuel Nchimbi kutangaza kuondoa mifarakano na kulileta pamoja Taifa, tayari Viongozi waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameachiwa kwa dhamana.

Viongozi hao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho kwa upande wa Tanzania Bara John Heche, Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Amani Golugwa, Mwenyekiti Kanda ya Pwani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya chama Boniface Jacob (Boni Yai) na Mjumbe wa Kamati Kuu, Godbless Lema, dhamana yao umetolewa leo 10 Novemba 2025

Hii inaweza kuwa hatua nzuri kwenye safari ya Maridhiano kama alivyotangaza Dkt. Nchimbi, kuondoa mifarakano na kuleta pamoja taifa, kulinda amani na kurudisha umoja baada ya migawanyiko ya Uchaguzi!?

READ Also  Update: Science Teacher Graduates To Miss KDF Recruitment

Heche yeye alikuwa anashikiliwa na Polisi tangu Oktoba 22, 2025, alipokamatwa nje ya geti la Mahakama Kuu Dar es Salaam, alipokuwa akienda mahakamani, kusikiliza kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, anayekabiliwa na kesi ya uhaini.

  • Related Posts

    ๐”๐„๐…๐€ ๐„๐ฎ๐ซ๐จ๐ฉ๐š ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž โ€“ ๐‘๐จ๐ฎ๐ง๐ ๐จ๐Ÿ ๐Ÿ๐Ÿ” (๐Ÿ๐ฌ๐ญ ๐‹๐ž๐  ๐‘๐ž๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฌ)

    ๐”๐„๐…๐€ ๐„๐ฎ๐ซ๐จ๐ฉ๐š ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž โ€“ ๐‘๐จ๐ฎ๐ง๐ ๐จ๐Ÿ ๐Ÿ๐Ÿ” (๐Ÿ๐ฌ๐ญ ๐‹๐ž๐  ๐‘๐ž๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฌ): ๐“๐ก๐ฎ๐ซ๐ฌ๐๐š๐ฒ ๐Ÿ๐Ÿ๐ญ๐ก ๐Œ๐š๐ซ๐œ๐ก ๐Ÿ๐ŸŽ๐Ÿ๐Ÿ”: ๐…๐“:Lille ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ท 0โ€“1 ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง Aston VillaBologna ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น 1โ€“1 ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡น RomaVfB Stuttgart ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ช 1โ€“2 ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡น PortoPanathinaikos ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ท…

    Update: Iran Boycotts World Cup

    Iran have ruled out attending the World Cup – Sports Minister says the security conditions and relations with the United States are not in place. Ahmad Doyanmali: “Given that this…

    You Missed

    ๐”๐„๐…๐€ ๐„๐ฎ๐ซ๐จ๐ฉ๐š ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž โ€“ ๐‘๐จ๐ฎ๐ง๐ ๐จ๐Ÿ ๐Ÿ๐Ÿ” (๐Ÿ๐ฌ๐ญ ๐‹๐ž๐  ๐‘๐ž๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฌ)

    • By Milton
    • March 13, 2026
    • 2 views
    ๐”๐„๐…๐€ ๐„๐ฎ๐ซ๐จ๐ฉ๐š ๐‹๐ž๐š๐ ๐ฎ๐ž โ€“ ๐‘๐จ๐ฎ๐ง๐ ๐จ๐Ÿ ๐Ÿ๐Ÿ” (๐Ÿ๐ฌ๐ญ ๐‹๐ž๐  ๐‘๐ž๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ญ๐ฌ)

    Update: Iran Boycotts World Cup

    • By Milton
    • March 13, 2026
    • 3 views
    Update: Iran Boycotts World Cup

    Update: Iran New Supreme Leader Ayatollah Mojtaba Khamenei’s First Statement

    • By Milton
    • March 12, 2026
    • 3 views
    Update: Iran New Supreme Leader Ayatollah Mojtaba Khamenei’s First Statement

    ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: U.S. Strikes Iranian Naval Vessels Near Strait Of Hormuz Over Mine Threat

    • By Milton
    • March 11, 2026
    • 6 views
    ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: U.S. Strikes Iranian Naval Vessels Near Strait Of Hormuz Over Mine Threat

    ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Thai-Flagged Cargo Ship Hit by Missile Near Strait Of Hormuz, Crew Forced To Abandon Vessel

    • By Milton
    • March 11, 2026
    • 7 views
    ๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Thai-Flagged Cargo Ship Hit by Missile Near Strait Of Hormuz, Crew Forced To Abandon Vessel

    Football Titbits Across The Papers

    • By Milton
    • March 9, 2026
    • 5 views
    Football Titbits Across The Papers