Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa imepokea na kuyazingatia matamko ya umma yaliyotolewa nyakati mbalimbali na Wadau wa maendeleo na Nchi Rafiki za Ubelgiji, Kanada, Denmark, Ujumbe wa Umoja wa Ulaya, Finland, Ufaransa, Ghana, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Slovakia, Hispania, Uswizi, Sweden, Ufalme wa Muungano (Uingereza), Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, Marekani na Taasisi ya Thabo Mbeki kuhusu Tanzania na matukio yaliyojitokeza siku ya uchaguzi tarehe 29 Oktoba 2025.

Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini imeeleza kuwa Tanzania imepokea kwa wasiwasi hasa maudhui ya matamko haya, licha ya mazungumzo ya wazi yaliyofanyika kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wajumbe wa Jumuiya ya Kidiplomasia waliowekwa Nchini Tanzania yaliyofanyika tarehe 28 Novemba 2025.

READ Also  Raila Odinga’s Message to Sifuna and Babu Owino

Imeeleza zaidi kuwa pamoja na kwamba Tanzania inatambua mchango wa Jumuiya ya kimataifa katika kuimarisha demokrasia na maendeleo ya kijamii na kisiasa Nchini, ni muhimu pia kutambua kuanzishwa kwa Tume ya Uchunguzi ambayo itachunguza matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi na kutoa ripoti.

Uchunguzi na ripoti hiyo vitatoa uelewa juu ya matukio yaliyotokea na kuwa msingi wa ushirikiano wa kujenga mustakabali bora na kwamba Tanzania itaendelea kujikita katika ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya amani na maendeleo na inatoa wito kwa Wadau wote kuruhusu mifumo ya kitaifa kutekeleza hatua na maamuzi yaliyowekwa na Serikali.

READ Also  Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Aidha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuihakikishia jumuiya ya kimataifa na Wadau wa maendeleo kuhusu utayari na dhamira yake ya kuendelea kushirikiana katika masuala yote ya maslahi ya pande zote kama Washirika wenzao.

Related Posts

Update: Oketch Salah Says That He Will Respond To Winnie’s Statement

Oketch Salah says he will soon respond to Winnie Odinga’s interview with Yvonne Okwara, defending his earlier claims about his closeness to the late Raila Odinga. However, Raila Odinga Junior…

Why An International Storm Is Brewing Over Uganda’s Post-election Crisis

An international storm is brewing over Uganda’s post-election crisis after renowned human rights lawyer Robert Amsterdam released a powerful open letter demanding that Ugandan authorities guarantee the safety of opposition…

You Missed

Update: Oketch Salah Says That He Will Respond To Winnie’s Statement

  • By Milton
  • January 28, 2026
  • 1 views
Update: Oketch Salah Says That He Will Respond To Winnie’s Statement

Why An International Storm Is Brewing Over Uganda’s Post-election Crisis

  • By Milton
  • January 27, 2026
  • 3 views
Why An International Storm Is Brewing Over Uganda’s Post-election Crisis

2 Unidentified African Men Who Had Been Fighting Alongside The Russian Armed Forces Have Been Captured By The Ukrainian Armed Forces

  • By Milton
  • January 26, 2026
  • 4 views
2 Unidentified African Men Who Had Been Fighting Alongside The Russian Armed Forces Have Been Captured By The Ukrainian Armed Forces

President Museveni Is A ‘Marked Man’

  • By Milton
  • January 25, 2026
  • 7 views
President Museveni Is A ‘Marked Man’

A Senior US Senator Has Called For Sanctions Against Uganda’s Chief Of Defence Forces, General Muhoozi Kainerugaba

  • By Milton
  • January 25, 2026
  • 6 views
A Senior US Senator Has Called For Sanctions Against Uganda’s Chief Of Defence Forces, General Muhoozi Kainerugaba

Kisumu Woman Representative Ruth Odinga Has Issued A Strong And Timely Caution To The Orange Democratic Movement (ODM) Party Leadership

  • By Milton
  • January 23, 2026
  • 7 views
Kisumu Woman Representative Ruth Odinga Has Issued A Strong And Timely Caution To The Orange Democratic Movement (ODM) Party Leadership