Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa imepokea na kuyazingatia matamko ya umma yaliyotolewa nyakati mbalimbali na Wadau wa maendeleo na Nchi Rafiki za Ubelgiji, Kanada, Denmark, Ujumbe wa Umoja wa Ulaya, Finland, Ufaransa, Ghana, Ujerumani, Ireland, Italia, Uholanzi, Norway, Poland, Slovakia, Hispania, Uswizi, Sweden, Ufalme wa Muungano (Uingereza), Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, Marekani na Taasisi ya Thabo Mbeki kuhusu Tanzania na matukio yaliyojitokeza siku ya uchaguzi tarehe 29 Oktoba 2025.

Taarifa iliyotolewa na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini imeeleza kuwa Tanzania imepokea kwa wasiwasi hasa maudhui ya matamko haya, licha ya mazungumzo ya wazi yaliyofanyika kati ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Wajumbe wa Jumuiya ya Kidiplomasia waliowekwa Nchini Tanzania yaliyofanyika tarehe 28 Novemba 2025.

READ Also  Prime CS Musalia Mudavadi Says The Kenyan Government Has Been Unable To Trace Teacher John Okoth Ogutu

Imeeleza zaidi kuwa pamoja na kwamba Tanzania inatambua mchango wa Jumuiya ya kimataifa katika kuimarisha demokrasia na maendeleo ya kijamii na kisiasa Nchini, ni muhimu pia kutambua kuanzishwa kwa Tume ya Uchunguzi ambayo itachunguza matukio ya vurugu za baada ya uchaguzi na kutoa ripoti.

Uchunguzi na ripoti hiyo vitatoa uelewa juu ya matukio yaliyotokea na kuwa msingi wa ushirikiano wa kujenga mustakabali bora na kwamba Tanzania itaendelea kujikita katika ushirikiano wa kimataifa kwa ajili ya amani na maendeleo na inatoa wito kwa Wadau wote kuruhusu mifumo ya kitaifa kutekeleza hatua na maamuzi yaliyowekwa na Serikali.

READ Also  Assume You Meet Your Old Schoolmate

Aidha, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuihakikishia jumuiya ya kimataifa na Wadau wa maendeleo kuhusu utayari na dhamira yake ya kuendelea kushirikiana katika masuala yote ya maslahi ya pande zote kama Washirika wenzao.

Related Posts

How Odinga Family Marked Raila’s Birthday

The Odinga family marked Raila Odingaโ€™s Birthday on January 7 with an emotional message of gratitude to Kenyans and global leaders who supported them after his death. The day, which…

Update: Semenyo To Manchester City

๐‡๐„๐‘๐„ ๐–๐„ ๐†๐Ž! Manchester City seal agreement to sign Antoine Semenyo for ยฃ๐Ÿ”๐Ÿ“๐ฆ. Deal confirmed as Semenyo picked Manchester City before Christmas over 4 Premier League clubs keen. City will…

You Missed

How Odinga Family Marked Raila’s Birthday

  • By Milton
  • January 7, 2026
  • 2 views
How Odinga Family Marked Raila’s Birthday

Update: Semenyo To Manchester City

  • By Milton
  • January 7, 2026
  • 4 views
Update: Semenyo To Manchester City

Update: Relief To Edwin Sifuna After ODM Expelled Their Motion

  • By Milton
  • January 6, 2026
  • 5 views
Update: Relief To Edwin Sifuna After ODM Expelled Their Motion

Here Is The New Chelsea Head Coach

  • By Milton
  • January 6, 2026
  • 6 views
Here Is The New Chelsea Head Coach

๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Ole Gunnar Solskjรฆr Shows Interest In Taking Manchester United Job As Caretaker Manager Until The End Of The Season

  • By Milton
  • January 6, 2026
  • 6 views
๐๐‘๐„๐€๐Š๐ˆ๐๐†: Ole Gunnar Solskjรฆr Shows Interest In Taking Manchester United Job As Caretaker Manager Until The End Of The Season

The Brutal Truth About Starting A Poultry Farm With 50 Layer Chickens

  • By Milton
  • January 6, 2026
  • 8 views
The Brutal Truth About Starting A Poultry Farm With 50 Layer Chickens