Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Benefits Of Raising Your Legs For 5 Minutes

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Rais Wa Tanzania Apanga Kuanzisha Mazungumzo Ya Maridhiano

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  RIP: Here Is The Sad News From Sotik, Bomet County

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

The Giant of Kenya, Maseno University, is set to admit a record 9,196 students this September! As things stand, it is the only university we know that is expected to…

James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

TRIBUTE TO A HERO OF THE SECOND LIBERATION: FAREWELL MZEE JULIUS MAINA KAGO It is with profound sadness and a heavy heart that I have learned of the passing of…

You Missed

Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

Good News To Teachers

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Good News To Teachers

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Football Titbits Across The Papers

U.S. Strike Reported at Chabahar Port

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 3 views
U.S. Strike Reported at Chabahar Port

U.S. Launches Second Wave of Airstrikes on Southern Iran

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 3 views
U.S. Launches Second Wave of Airstrikes on Southern Iran