Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Why An International Storm Is Brewing Over Uganda’s Post-election Crisis

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  I’ve Seen Younger And Older Women Celebrating Pauline Njoroge Saying Life Begins At 40 And That They Too Will Find Love In Their 40s

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  RIP: The 2014 Commonwealth Games Silver Medalist Jairus Birech Is Dead

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

3127vk8

3127vk8 READ Also  This Is JARRED GILLETTE. The 38 year Old Australian Referee That Officiated Arsenal vs Newcastle Last Night

SΓ©e A Kisii Mother Who Stripped NakΓ©d To Course Her Gen Z Son

A mother in Kisii stripped nak@d to curse her Gen Z son after he cut down her trees and sold them to buy alcohol and enjoy with women. In many…

You Missed

3127vk8

  • By Milton
  • August 14, 2026
  • 4 views

SΓ©e A Kisii Mother Who Stripped NakΓ©d To Course Her Gen Z Son

  • By Milton
  • August 14, 2026
  • 5 views
SΓ©e A Kisii Mother Who Stripped NakΓ©d To Course Her Gen Z Son

𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š : American Airlines Flight Makes Emergency Landing After Bird Strike

  • By Milton
  • August 11, 2026
  • 11 views
𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š : American Airlines Flight Makes Emergency Landing After Bird Strike

Breaking: China’s Long March 7A Rocket Explodes Shortly After Launch

  • By Milton
  • August 11, 2026
  • 8 views
Breaking: China’s Long March 7A Rocket Explodes Shortly After Launch

Update: Iran’s Supreme Leader Reportedly Reorganizes Senior Military Command

  • By Milton
  • August 11, 2026
  • 8 views
Update: Iran’s Supreme Leader Reportedly Reorganizes Senior Military Command

Osimhen’s Temper Could Become His Biggest Problem

  • By Milton
  • August 11, 2026
  • 8 views
Osimhen’s Temper Could Become His Biggest Problem