Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Youth turnout in numbers for Bobi Wine's campaign

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Prime CS Musalia Mudavadi Says The Kenyan Government Has Been Unable To Trace Teacher John Okoth Ogutu

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Football Titbits Across The Papers

Callum Wilson agrees to stay with West Ham, Ibrahim Sangare added to Manchester United shortlist and Manchester City close in Tino Livramento. England striker Callum Wilson, 34, has agreed a…

๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Joint U.S.โ€“Israel Airstrikes Continue Across Iran

Reports indicate that joint airstrike operations by the United States and Israel are continuing across multiple areas in Iran, as the conflict intensifies. According to the latest information, several key…

You Missed

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • March 9, 2026
  • 2 views
Football Titbits Across The Papers

๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Joint U.S.โ€“Israel Airstrikes Continue Across Iran

  • By Milton
  • March 9, 2026
  • 2 views
๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Joint U.S.โ€“Israel Airstrikes Continue Across Iran

๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Roman Abramovich Is reportedly preparing To Sue The UK government

  • By Milton
  • March 9, 2026
  • 4 views
๐—•๐—ฅ๐—˜๐—”๐—ž๐—œ๐—ก๐—š: Roman Abramovich Is reportedly preparing To Sue The UK government

FKF is deeply saddened by the passing of former Harambee Stars Head Coach, Engin Fฤฑrat.

  • By Milton
  • March 9, 2026
  • 3 views
FKF is deeply saddened by the passing of former Harambee Stars Head Coach, Engin Fฤฑrat.

He died Last Year In June, And He Has Still Not Been Buried

  • By Milton
  • March 8, 2026
  • 4 views
He died Last Year In June, And He Has Still Not Been Buried

US President Donald Trump Dismissed Threats from Iranโ€™s Top Security Official

  • By Milton
  • March 8, 2026
  • 4 views
US President Donald Trump Dismissed Threats from Iranโ€™s Top Security Official