Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  A court session turned deeply emotional after Milimani Chief Magistrate Honourable Dolphina Alego put aside her legal veil

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Prime CS Musalia Mudavadi Says The Kenyan Government Has Been Unable To Trace Teacher John Okoth Ogutu

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

Kenya continues to face a substantial public health burden from smoking. An estimated 12,000 adults die annually from smoking-related illnesses. Although adult smoking prevalence has declined from 15 percent in…

UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

COTU now wants Parliament to revise PAYE bands for workers earning up to KSh60,000 monthly. The Union argues that workersโ€™ purchasing power has significantly weakened in recent years due to…

You Missed

Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

  • By Milton
  • June 2, 2026
  • 2 views
Update: An Estimated 12,000 Adults Die Annually From Smoking-related Illnesses

UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 4 views
UPDATE: COTU Now Wants Parliament To Revise PAYE Bands For Workers Earning Up To KSh60,000 Monthly

Mystery As Bungoma Deputy Principal Collapses, Dies In Hotel Room During Night Out With Woman

  • By Milton
  • May 27, 2026
  • 3 views
Mystery As Bungoma Deputy Principal Collapses, Dies In Hotel Room During Night Out With Woman

Update: Deon Woodman Shares His Excitement

  • By Milton
  • May 23, 2026
  • 5 views
Update: Deon Woodman Shares His Excitement

Mutahi Ngunyi Tells Ruto 1 Person He Should Be Afraid Of In His Govt And Who Is Controlling Him

  • By Milton
  • May 22, 2026
  • 6 views
Mutahi Ngunyi Tells Ruto 1 Person He Should Be Afraid Of In His Govt And Who Is Controlling Him

What President Ruto Has Said On The Ongoing Fuel Crisis

  • By Milton
  • May 22, 2026
  • 6 views
What President Ruto Has Said On The Ongoing Fuel Crisis