Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Here Are The Evil Things That Is Happening In Tanzania

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Prime CS Musalia Mudavadi Says The Kenyan Government Has Been Unable To Trace Teacher John Okoth Ogutu

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Mwanasoka wa zamani na mshambuliaji wa Zaire Roger Lukaku ambaye ni baba yake Romelu Lukaku amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 58

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Joe Hart on West Hamโ€™s Disallowed Equalizer vs Arsenal, Accuses VAR of Saving Arsenalโ€™s Title Hopes

๐Ÿ—ฃ๏ธโ€œListen, I donโ€™t care what anyone says, that goal shouldโ€™ve stood. VAR has absolutely ruined moments like that. West Ham fought for that equalizer and somehow theyโ€™ve found a way…

Football Titbits across the papers

Liverpool make offer for Dutch defender Sam Beukema, AC Milan offer Rafael Leao to Premier League sides, Manchester United target ex-Nottingham Forest midfielder Danilo. Liverpool have made an offer to…

You Missed

Joe Hart on West Hamโ€™s Disallowed Equalizer vs Arsenal, Accuses VAR of Saving Arsenalโ€™s Title Hopes

  • By Milton
  • May 11, 2026
  • 2 views
Joe Hart on West Hamโ€™s Disallowed Equalizer vs Arsenal, Accuses VAR of Saving Arsenalโ€™s Title Hopes

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • May 3, 2026
  • 5 views
Football Titbits across the papers

Kenya Politics Taking A New Turn

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
Kenya Politics Taking A New Turn

Mizani Africa Poll: Kisumu County 2027 Presidential Preferences

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
Mizani Africa Poll: Kisumu County 2027 Presidential Preferences

Update: US deploys next-gen nuclear submarine USS Idaho with lifetime reactor power

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
Update: US deploys next-gen nuclear submarine USS Idaho with lifetime reactor power

Update: Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • April 30, 2026
  • 8 views
Update: Football Titbits Across The Papers