Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Here Are The Evil Things That Is Happening In Tanzania

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Here Is What You Should Know About Today's Court Ruling On This Catholic Nun

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Kenyans Be Warned: General Muhoozi Issues Stern Caution Over Museveni Health Rumours

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

FIFA World Cup Draw, Game One Fixture

𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗔: 🇲🇽 Mexico🇰🇷 South Korea 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗕: 🇨🇦 Canada🇨🇭 Switzerland 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗖: 🇧🇷 Brazil 🇲🇦 Morocco 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗗: 🇺🇸 United States🇦🇺 Australia 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣 𝗘: 🇩🇪 Germany 🇪🇨 Ecuador 𝗚𝗥𝗢𝗨𝗣…

Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

Serikali ya Tanzania imeeleza kuwa imepokea na kuyazingatia matamko ya umma yaliyotolewa nyakati mbalimbali na Wadau wa maendeleo na Nchi Rafiki za Ubelgiji, Kanada, Denmark, Ujumbe wa Umoja wa Ulaya,…

You Missed

FIFA World Cup Draw, Game One Fixture

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 2 views
FIFA World Cup Draw, Game One Fixture

Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

  • By Milton
  • December 6, 2025
  • 2 views
Serikali Ya Tanzania Yajibu Jumuiya Ya Mataifa

To Vaccinate Local Chicken Breeds (Kienyeji) or Not?

  • By Milton
  • December 5, 2025
  • 3 views
To Vaccinate Local Chicken Breeds (Kienyeji) or Not?

English Premier League Fixtures / Table

  • By Milton
  • December 5, 2025
  • 2 views
English Premier League Fixtures / Table

PART 1: Chilling Video of Man Who Dismembered Girlfriend and Allegedly Boiled Her Remains

  • By Milton
  • December 5, 2025
  • 4 views
PART 1: Chilling Video of Man Who Dismembered Girlfriend and Allegedly Boiled Her Remains

Former Prime Minister Raila Odinga Tops Google Searches In 2025

  • By Milton
  • December 4, 2025
  • 6 views
Former Prime Minister Raila Odinga Tops Google Searches In 2025