Kwa Wasio Mjua Baba Levo

Jina : Levocatus
Kuzaliwa : Kigoma
Jinsia : Kiume
Kazi : Influencer
Aliyemwezesha kupata ubunge : Diamond

(Baba)
levo ambaye amekuwa ni chawa wa Diamond _ hadi kuwa mbunge ni kwamba Diamond anayo nguvu kubwa sana ndani ya CCM (kwa sababu ya ushawishi wake kimziki) kiasi kwamba anachomeka watu mhimu kwenye power ili kumsaidia sio yeye pekee hata mazingira yake, ndio maana alianzisha kumpandisha Babu Tale Mbungeni na hivyo amekolea utamu na kufanya plan nyingine kumpandisha baba Levo hivyo, Baba levo ni mdori tu wa Diamond na sio mtumishi wa jamii ya watu wa Kigoma.

(Zile)
show off anazionesha kwa sasa, za kutegeneza meza mara magari ya harusi nawapeni hata miezi 3 haitaisha atahamia jingine na jingine na jingine.

READ Also  Here Are The Evil Things That Is Happening In Tanzania

(Baba)
levo hakuanzia hapo, Baba levo ni mtu wa kutamani na kujaribu ila vitu havimalizi kamwe , kama mnakumbuka alipoona Cheka tu inafanya vizuri naye akaingia mzima mzima kuanzisha chek tu yake _ Alipoanza na alipoishia ni wapi ?

(Naona)
aibu kubwa kwa watu wa Kigoma kwa sababu hawajui Baba Levo ni mtu wa mihemko na watashanga kuona kabisa hadi mwaka unaisha hakuna atakacho kifanya cha maana hizi mbwembwe za mwanzo zisiwape pressure haichukui siku nyingi utaona amepotea na kusalia na jina la Mbunge wa Kigoma.

(Na)
atakuwa anakuja na matukio mapya afu yote hayamalizi, Achana na hizo za kugawa pikipiki zote zile ni mbwembwe zitaisha hakuna kitakachoendelea zaidi ya hapo.

READ Also  Mykhailo Mudryk Decided To Swap Football For Athletics

(Ubunge)
aliopata hapo, ni yeye na familia yake ili aweze kufaulu kumalizia ghorofa ambalo alijega hela zote akawa anazimalizia kwenye kamali na casino_Kama hujui ni kwamba kazi ya ubunge ni hela basi jiulize kwanini watu wapo tayari kujifanya hawajui mauwaji yaliotokea lengo waendele kubaki madarakani! watu wanapiga hizi milioni 40 kama upepo wewe na maharangwe yako unakula umelala wao wanaoga mahela _kila anayeingia bungeni akitoka ni tajiri hujawahi kujua hilo ? kule watu wanapiga nchi kama hawana akili wakija majibuni kwao ni kuzuka hiyo kununua viboda boda 25 sio kazi yao ni pesa ya mboga afu anabaki kikubwa anatagwa miradi yake binafsi.

READ Also  Today's Football Titbits Across The Papers

(Yamkini)
Tusufike huko tumbowe sana, ila simwoni kama ni kioo sahihi kwamba atabadilisha lolote katika maisha ya vijana wa kitanzania.Mhimu hili Bunge lote linafaha kuvunjwa sababu hakuna mtu aliyelipitisha hasa wananchi hawakuoata mandate ya kuchangua kihalali.

Related Posts

Football Titbits Across The Papers

Paris St-Germain have no plans to pursue a move for Manchester City’s World Cup-winning Spain midfielder Rodri. (Sky Sports), external However, City are bracing themselves for a bid from Spanish…

Football Titbits across the papers

Real Madrid are working on a deal to sign Manchester City midfielder Rodri, with the Spanish club confident an agreement can be reached for the 30-year-old Spain captain. (Athletic –…

You Missed

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • July 28, 2026
  • 2 views
Football Titbits Across The Papers

Football Titbits across the papers

  • By Milton
  • July 25, 2026
  • 4 views
Football Titbits across the papers

𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Cruise Missiles Hit Two Oil Tankers Near UAE

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 15 views
𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Cruise Missiles Hit Two Oil Tankers Near UAE

𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Europe Unites to Boost Air Defense Against Russian Missiles

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 14 views
𝗕π—₯π—˜π—”π—žπ—œπ—‘π—š: Europe Unites to Boost Air Defense Against Russian Missiles

Update: President Ruto Mourns

  • By Milton
  • July 14, 2026
  • 8 views
Update: President Ruto Mourns

Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 10 views
Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students