Tanzania Kukosa Misaada Ya Ulaya

JE, MMEYASIKIA YA BUNGE LA ULAYA.

Bunge la Ulaya limetoa uamuzi mzito unaobeba ujumbe wa kisiasa wa hali ya juu dhidi ya mwelekeo wa utawala wa sasa nchini Tanzania. Kupitia Kamati ya Mambo ya Nje (EP_ForeignAf) na Kamati ya Maendeleo (EP_Development), wabunge wa EU wamepiga kura kuzuia hatua ya Tume ya Ulaya kutoa fedha nyingi kwa Tanzania mwaka ujao kupitia mfuko wa NDICIโ€“Global Europe โ€“ mfuko muhimu kwa kukuza maendeleo, ustawi na uwajibikaji barani Afrika.

Katika kura hiyo, wabunge 53 waliunga mkono kusitisha fedha hizo, huku 2 wakipinga na 1 akijizuia kupiga kura. Hii si kura ya kawaida. Ni tamko rasmi la kisiasa la kuonyesha kutoridhishwa na hali ya kisiasa, uchaguzi, na mwenendo wa haki za binadamu nchini.

READ Also  โ€Ž"Junior, Jump! Jump downstairs, I will give you sweet." Stella said to her sister's 6 month old baby

Kwa nini wamechukua uamuzi huu?

Sababu zao ni tatu kuu:

  1. Kukithiri kwa ukandamizaji wa wananchi โ€“ ikiwemo kubanwa kwa haki ya kujieleza, kuandamana na kukusanyika.
  2. Uchaguzi wenye utata na udanganyifu โ€“ kutokuwepo kwa uwazi, haki na uwanja sawa wa kisiasa.
  3. Mwelekeo wa kiimla wa Serikali โ€“ kuongezeka kwa matendo yanayoashiria kupotea kwa misingi ya demokrasia.

Kwa lugha nyepesi, Bunge la Ulaya limesema:

โ€œHatutoendelea kutoa fedha kubwa kwa Tanzania huku demokrasia ikiendelea kupungua na wananchi wakizidi kunyanyaswa.โ€

Hii ina maana gani kwa Tanzania?

  1. Fedha za maendeleo Zinaweza kuzuia au kucheleweshwa hadi maboresho ya kisiasa yaonekane.
  2. Sifa ya Tanzania kimataifa Inaendelea kuharibika kutokana na tuhuma za ukandamizaji.
  3. Mahusiano ya Tanzania na EU Yanapitia mtihani mkubwa na presha itaongezeka.
  4. Serikali ya Tanzania Itahitaji kuchukua hatua kurejesha imani ya dunia
READ Also  Why President Uhuru Kenyatta Has Adamantly Refused To Sit Down With Rigy-G

Uamuzi huu unakuja katika kipindi ambacho macho ya dunia yote yapo Tanzania. EU imeonyesha wazi kuwa haitatoa fedha za kujenga barabara na miradi ya maendeleo kwa taifa linaloshutumiwa kubomoa misingi ya haki, uhuru na demokrasia.

Onyo au Fursa?

Serikali inaweza kuchagua:

  1. Ama kuendelea na njia ya sasa na kupoteza washirika muhimu,
  2. Au kuanza kufungua mfumo wa kisiasa na kurejesha matumaini ya wananchi na jumuiya ya kimataifa.

Lakini jambo moja liko wazi:

๐Ÿ‘‰๐Ÿฝ Dunia imeamka. Na sasa inaangalia Tanzania kwa makini zaidi kuliko hapo awali.

Wasalaam
John Pambalu

  • Related Posts

    Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

    An Iranian lawmaker warned that in the event of war with the US, Tehran could strike targets inside Americaโ€”including โ€œTrumpโ€™s own palace. โ€Amir Hayat Moghaddam, a member of Iranโ€™s parliament…

    Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

    As a result, Ruto is expected to keep Kindiki firmly in place as Deputy President, signaling continuity at the top. Meanwhile, Oburu is strategizing, heโ€™s considering rallying Team Edwin Sifuna…

    You Missed

    Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

    • By Milton
    • February 20, 2026
    • 2 views
    Update: Iran Threaten To Bomb American Cities

    Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

    • By Milton
    • February 20, 2026
    • 2 views
    Rumors Swirl That President Ruto Is Uneasy About Oburuโ€™s Ability To Marshal The Numbers, Casting Doubt On His Reliability

    Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

    • By Milton
    • February 20, 2026
    • 3 views
    Vladimir Putin Welcomed Bruno Rodrรญguez Parrilla At The Kremlin In Moscow

    Breaking: Vini Jr Statement

    • By Milton
    • February 18, 2026
    • 3 views
    Breaking: Vini Jr Statement

    Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 5 views
    Update: Socialite Corazon Kwamboka Has Announced tihat She Will Run For The Nairobi Women Rep. Seat In 2027

    So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?

    • By Milton
    • February 17, 2026
    • 6 views
    So Did The Russian Man Destroy Marriages Or Just Exposed Them?