Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele.

Mama wa mtoto alikuwa amekubaliana na wazazi wa mwanaume aliyezaa naye kwamba ampeleke mtoto anyolewe nywele ya kwanza na nyanya.

Hata hivyo, alipowasili nyumbani hakuwapata wazazi. Badala yake alimkuta kijana huyo ambaye alimpokea mtoto, akaenda naye nyuma ya nyumba kisha kufanya mauaji hayo.

READ Also  My Wife Left Home To Buy Something In The Market One Morning

Polisi wamemkamata mtuhumiwa huku uchunguzi ukiendelea.

Tukio hili limeibua majonzi makubwa pale Matioli-Butali katika eneo la Malava.

Related Posts

Rais Wa Tanzania Apanga Kuanzisha Mazungumzo Ya Maridhiano

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Emmanuel Nchinbi amesema kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema itaanzisha mchakato wa mazungumzo ya maridhiano ili kuimarisha…

Do You Remember The Case Of Sarah Wairimu, The Widow Of Dutch Billionaire Tob Cohen, Accused Of Murdering Her Husband In 2019?

Good people, let me tell you something, some cases, God handles personally. Any case that involves the taking of a human life, it automatically becomes God’s business. He doesn’t delegate.…

You Missed

Rais Wa Tanzania Apanga Kuanzisha Mazungumzo Ya Maridhiano

  • By Milton
  • November 8, 2025
  • 0 views
Rais Wa Tanzania Apanga Kuanzisha Mazungumzo Ya Maridhiano

Do You Remember The Case Of Sarah Wairimu, The Widow Of Dutch Billionaire Tob Cohen, Accused Of Murdering Her Husband In 2019?

  • By Milton
  • November 8, 2025
  • 1 views
Do You Remember The Case Of Sarah Wairimu, The Widow Of Dutch Billionaire Tob Cohen, Accused Of Murdering Her Husband In 2019?

Huge Blow To Sakaja After Ida Odinga Revealed This

  • By Milton
  • November 8, 2025
  • 4 views
Huge Blow To Sakaja After Ida Odinga Revealed This

“Poleni Sana” Bobi Wine Speaks After Kenyan Activists Were Released

  • By Milton
  • November 8, 2025
  • 3 views
“Poleni Sana” Bobi Wine Speaks After Kenyan Activists Were Released

Today, H.E. Uhuru Kenyatta Convened The First Grassroots Engagement Meeting For The Jubilee Party In Murang’a

  • By Milton
  • November 7, 2025
  • 2 views
Today, H.E. Uhuru Kenyatta Convened The First Grassroots Engagement Meeting For The Jubilee Party In Murang’a

The 62m SALT Yacht Is Sailing On Kenya’s Coastal Waters Of Kilifi County

  • By Milton
  • November 7, 2025
  • 2 views
The 62m SALT Yacht Is Sailing On Kenya’s Coastal Waters Of Kilifi County