Huzuni Baada Ya Kijana Moja Kujitoa Uhai Kwa Nyumba Za Kupanga

HABARI ZA HIVI PUNDE.

Hali ya huzuni imetanda katika soko ya lutaso baada ya kijana mmoja wa umri wa miaka Ishirini na tano kwa majina Grivas mauka mtoto wa Mukheo Nasokho kutoka kitongoji katika Cha Chekata ukielekea Lumani amepatikana kama amejitia kitanzi kwa nyumba za ijara (pangisha),Nduru za kuaminika zinasemekana kwamba marehemu amekuwa na ugomvi na mkewe SHARON kutoka Siaya nyakati za usiku,Chifu KELLY BARASA ( KUKA) amethibitisha kitendo hicho na kuonya vikali wakazi wa Bunyala mashariki Wasije kurudia kitendo kama hicho ambacho kinaleta aibu katika eneo lake,

Mwili wa mwendazake umechukuliwa na maafisa wa polisi kutoka kituo cha Navakholo huku uchunguzi ukifanyika.

READ Also  What Has Been Spotted At River Nzoia

Related Posts

Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

The Giant of Kenya, Maseno University, is set to admit a record 9,196 students this September! As things stand, it is the only university we know that is expected to…

James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

TRIBUTE TO A HERO OF THE SECOND LIBERATION: FAREWELL MZEE JULIUS MAINA KAGO It is with profound sadness and a heavy heart that I have learned of the passing of…

You Missed

Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Maseno University, Set To Admit A Record 9,196 Students

James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
James Orengo’s Tribute Mzee Julius Maina Kago

Good News To Teachers

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Good News To Teachers

Football Titbits Across The Papers

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 2 views
Football Titbits Across The Papers

U.S. Strike Reported at Chabahar Port

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 3 views
U.S. Strike Reported at Chabahar Port

U.S. Launches Second Wave of Airstrikes on Southern Iran

  • By Milton
  • July 9, 2026
  • 3 views
U.S. Launches Second Wave of Airstrikes on Southern Iran